• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Video

  • Mkurugenzi Mafuru atatua mgogoro wa ardhi uliodumu miaka 30 Dodoma

    May 20th, 2021

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru ametatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 30 katika Mtaa wa Ndachi na kuwawezesha wananchi kupata hati za kumiliki maeneo yao kwa mujibu wa sheria.

    Mkurugenzi Mafuru ametatua mgogoro huo katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo kwenye uwanja wa michezo katika Mtaa wa Ndachi uliopo Kata ya Mnadani jijini hapa. Mafuru amefafanua kuwa wananchi hao wamekosa maendeleo kwa muda mrefu kutokana na kuwa na migogoro ya ardhi iliyodumu kwa muda mrefu.

  • Serikali inatambua na kuthamini mchango wa Watanzania wabunifu katika elimu - Majaliwa

    May 19th, 2021

    SERIKALI imesema inatambua na kuthamini mchango mkubwa unaotolewa na Watanzania wabunifu katika eneo la elimu, uvuvi, viwanda, kilimo na maeneo mengine.


  • TEA, Jiji Dodoma kutumia Bilioni 1.9 kwa ujenzi na ukarabati wa shule

    May 19th, 2021

    HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imeendeleza jitihada katika kukuza sekta ya elimu kwa kuboresha miundombinu na upanuzi wa shule Jijini hapa ikishirikiana na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) pamoja na taasisi nyingine za kifedha nchini.

    TEA na Halmashauri ya Jiji la Dodoma zimrfanya hafla ya makabidhiano rasmi ya mradi wa ukarabati na upanuzi wa shule za msingi Kisasa, Kizota, Medeli na Mlimwa C jana tarehe Mei 6, 2021 ambapo mradi huo unafanyika chini ya mshauri elekezi Chuo cha Sayansi Mbeya (MUST Consultancy Bereau - MCB) wenye gharama ya shilingi Bilioni 1.9 na unatarajiwa kukamilika katika kipindi cha miezi minne kutoka sasa.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Ujenzi wa miundombinu ya TEHAMA kuboresha utoaji huduma

    January 17, 2022
  • Halmashauri za Dodoma igeni Jiji la Dodoma - RAS Mganga

    January 16, 2022
  • CCM Dodoma walipongeza Jiji ujenzi wa jengo la 'Machinga'

    January 16, 2022
  • Ujenzi Ikulu ya Chamwino wafikia asilimia 91

    January 16, 2022
  • Angalia zote

Video

Chang'ombe wampongeza Diwani wao, utatuzi kero za elimu, afya
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.