Fursa za maeneo ya uwekezaji viwanda vidogo, vya kati na vikubwa Jijini Dodoma
Halmashauri ya JIji la Dodoma inaboresha miundombinu ya eneo maalum Bahi Road kwa ajili ya matumizi ya wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama 'Machinga' kutekeleza agizo la Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suhulu Hassan.
Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.