• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wadau 354 kushiriki kongamano la Afya Dodoma

Imewekwa tarehe: November 24th, 2020

JUMLA ya wadau 354 kutoka nyanja mbalimbali ya sekta ya Afya wanatarajia kushiriki kongamano la Afya Tanzania Health Summit linalotajia kufanyika Jijini Dodoma Novemba 25-26 mwaka huu.

Hayo yamebainishwa na Rais wa kongamano la Afya Tanzania Health Summit, Dkt. Omary Chillo wakati akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma.

Aidha Dkt. Chillo ameeleza kongamano hilo ni la Saba kufanyika na lengo ni kujadili uchumi wa kati unavyoendana na nyanja ya Afya nchini.

Dkt Chillo amesema katika kongamano hilo tasisi zisizo za Kiserikali zitatoa mada na kujadili ni jinsi gani hasa wataweza kuboresha afya ya Jamii kwa wananchi.

Kwakuongezea Dkt. Chillo ameeleza kuwa katika mkutano huo watatoa mrejesho wa mikutano mingine iliyowahi kufanyika na kutoa mapendekezo ya Nini hasa kifanyike katika kuboresha sekta ya afya kipindi hiki Cha uchumi wa Kati.

“Msingi mkuu wa kongamano hili ni kubadilisha uzoefu na kuona tunafanyaje kazi hasa kipindi hikitulichoingia uchumi wa Kati katika taifa letu pendwa la Tanzania,” ameeleza Dkt Chillo.

Vile vile Dkt. Chillo amesema kutakuwepo na maonyesho mbalimbali ya masuala ya afya na wabunifu watako shiriki katika kongamano hilo watapatiwa zawadi.

“Natoa wito kwa Watu ambao bado hawajajiandikisha kujiandikisha ili kuweza kushiriki kongamano hilo na kuleta chachu katika sekta ya afya na kuboresha mifumo ya afya zaidi nchini”, amesiaitiza Dkt. Chillo.

Hata hivyo katika kongamano hilo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof Magula Mchembe na atakayefunga anatarajiwa kuwa katibu Mkuu Mhandisi Joseph Nyamhanga kutoka Ofsi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali na serikali za mitaa (TAMISEMI).




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.