• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji, wananchi Kizota wachangia ujenzi wa Kituo cha Afya

Imewekwa tarehe: May 9th, 2022

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma ikishirikiana na wananchi na wadau wa maendeleo wa Kata ya Kizota wanaendelea na ujenzi wa Kituo cha Afya katika hiyo ili kupeleka karibu zaidi huduma za matibabu ya afya kwa wananchi.

Mradi wa Kituo cha Afya Kizota uliibuliwa mwaka 2019 na kuanza kutekelezwa mwaka 2020. Kutokana na kutokuwa na fedha ya kutosha wakati utekelezaji unaanza, ambapo kulikuwa na kiasi cha shilingi milioni 70 tu (fedha za wananchi zilizotokana na mradi D-Center ya Mnada Mpya) Mhandisi wa Jiji alishauri yaanze kujengwa majengo matatu tu ambayo ni jengo la wagonjwa wa nje (OPD), jengo la huduma za mama na mtoto (RCH) na jengo la utawala. Tayari kiasi cha shilingi 78,814,180 fedha za wananchi wa kata ya Kizota na wadau mbalimbali wa maendeleo zimeshatumika katika ujenzi huo.

Aidha, mwishoni mwa mwezi wa Machi, Halmashauri ya Jiji la Dodoma imetoa kiasi cha shilingi 167,996,242 ambazo zimesaidia kuanza kwa ujenzi wa jengo la maabara. Majengo yote yanatarajiwa kukamilika mwezi wa saba na huduma zitaanza kutolewa kwa wananchi mara moja.

Aidha, inakadiriwa hadi kukamilika kwa majengo yote ya kituo, itagharimu kiasi cha shilingi milioni 600 kinahitajika.

Naye diwani wa kata ya Kizota, Mheshimiwa Jamal Ngallya akihojiwa na mwandishi wetu amesema “Mchakato wa kujenga kituo hicho cha afya ulianza kwa kutumia fedha za nguvu ya wananchi ambazo tulizipata kupitia malipo ya vibanda vya maeneo ya kufanyia biashara katika Kituo cha Daladala Mnada-mpya”

Mhe. Jamal amesema kuwa katika malengo ya  baadae ni wanatarajia kukifanya kituo hicho kuwa na huduma zote za kulaza wagonjwa, kufanya upasuaji, n.k.

Uwepo wa kituo hicho cha afya utahudumia na kata za jirani na kupunguza msongamano katika hospitali kuu ya rufaa ya mkoa na Kituo cha Afya Makole.

“kwa wananchi wa Kata ya Kizota naomba kutoa shukrani kwa kuweza kuonyesha ushirikiano katika masuala ya kimaendeleo katika Kata yetu, hii inakuja baada ya wananchi hao kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa kituo cha afya cha Kata hiyo” amesema Diwani huyo wa Kata ya Kizota.

Diwani wa Kata ya Kizota Mheshimiwa Jamal Ngallya alipokuwa akiongea na mwandishi wa tovuti hii kuhusu ujenzi wa Kituo cha Afya Kizota.

Baadhi ya picha za majengo ya kituo cha Afya cha Kizota kinachoendelea kujengwa.





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.