• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mji wa Serikali


Eneo: Jiji la Dodoma imetenga eneo la mji wa Serikali ambao upo katika Kata ya Ihumwa kilomita 17 kutoka katikati ya Mji. Eneo hili lina ukubwa wa Hekta 617.15 sawa na Ekari 1,542.88.

Mipaka: Mji wa Serikali kwa upande wa  mangaribi unapakana na kambi ya Jeshi ya Ihumwa, Kaskazini-Mashariki unapakana na kata ya Mtumba na upande wa Kusini unapakana na barabara kuu iendayo Dar es salaam.

Mgawanyo: Mji wa Serikali umegawanyika katika maeneo tofauti kama ifuatavyo:-

  • Wizara za Serikali, 
  • Ofisi za Mabalozi, 
  • Nyumba za Serikali, 
  • Huduma za Jamii, 
  • Maeneo ya biashara,
  • Bunge, 
  • Mahakama, 
  • Maegesho ya magari, 
  • Eneo la majitaka

Mifumo ya Maji: Mji wa Serikali utakuwa unatumia maji lita za ujazo 3,016.7 kwa siku. Mfumo wa majitaka utakuwa umeunganishwa na mtambo wa kisasa utakaofanya kazi ya kupokea majitaka na kuyachakata kuwa maji safi tena kwa ajili ya matumizi mengine.

Gharama: Gharama za Utekelezaji ujenzi wa Mji wa Serikali: Makadirio ya gharama za kukamilisha Mji wa Serikali ni Dola za Kimarekani 4,788,749,111 sawa na Shilingi za Kitanzania Trilioni 10,709,176,758,503. Gharama hizi zinategemewa kutoka katika vyanzo mbalimbali vifuatavyo:-

  • Fedha za Serikali, 
  • Wafadhiri, 
  • Mashirika ya Umma, 
  • Taasisi binafsi na za serikali, na 
  • Mashirika binafsi.


Matangazo

  • Tangazo kuhusu zoezi la Anuani za Makazi na Postikodi April 30, 2022
  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) 2022 April 28, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye USAILI WA MAHOJIANO kwa nafasi za Kazi ya Kukusanya Taarifa za Anwani za Makazi na Postikodi March 04, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili kwa nafasi za Kazi ya Kukusanya Taarifa za Anwani za Makazi na Postikodi February 28, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Serikali kujenga 'Sports and Arts Arena' Dodoma na Dar

    May 24, 2022
  • Rais Samia ziarani nchini Ghana

    May 23, 2022
  • Wakulima Milioni 1 kunufaika na programu ya mkopo wa pembejeo na soko la mazao

    May 20, 2022
  • Tanzania yafikia lengo uwekaji wa Anwani za Makazi - Waziri Nape

    May 20, 2022
  • Angalia zote

Video

DC Shekimweri awakumbusha wakazi Mtumba kutumia vema fedha za fidia
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    3 CDA Street

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.