• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira

UMUHIMU WA UNAWAJI MIKONO KWA MAJI SAFI TIRIRIKA NA SABUNI

Na Abdallah Mahia (12 Juni, 2022)

Umuhimu wa unawaji mikono kwa Maji safi tiririka na sabuni ni njia mojawapo madhubuti na rahisi katika kudhibiti magonjwa yanayoweza kuenezwa na mikono iliyochafuliwa na vimelea mbalimbali vya magonjwa

Umuhimu huu unakwenda sanjari na ukweli kwamba kutozingatia kanuni za tabia binafsi hupelekea kuenea kwa magonjwa.

Ni dhahiri kuwa mikono michafu huchangia kwa kasi kubwa kuenea kwa magonjwa kama vile kuhara, kuhara damu, minyoo, homa ya matumbo, magonjwa ya macho, magonjwa ya ngozi pamoja na maambukizi ya mfumo wa hewa kama vile mafua na Homa ya mapafu (pneumonia) ambayo kwa kiwango kikubwa yanaweza kuepukika ikiwa tabia ya unawaji wa mikono ikizingatiwa ipasavyo.

Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa vyanzo vikuu viwili vya vifo vya watoto katika nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania ni magonjwa ya kuhara na ‘pneumonia’, hivyo kitendo rahisi cha kunawa mikono kwa maji safi tiririka na sabuni kinaweza kuondoa takribani nusu ya hatari ya uambukizwaji wa magonjwa ya kuhara ikiwa ni pamoja na ‘pneumonia’.

Hali hii inabainisha kuwa kunawa mikono ni chaguo bora zaidi na rahisi katika kuzuia maambukizi ya magonjwa.

Aidha, kunawa mikono kwa kuzingatia kanuni nyingine za matumizi sahihi ya vyoo bora na maji safi na salama ya kunywa kwa ujumla wake vimebainika kuwa afua muhimu katika makuzi ya watoto, hivyo tuwafundishe watoto njia sahihi za kunawa mikono na matumizi bora ya maji safi na salama ya kunywa.

Takwimu zinaonyesha udumavu wa mwili kwa watoto unasababishwa na kutozingatia kanuni za usafi.

Hali hii inaleta changamoto zinazogusa nyanja za uchumi, maendeleo ya nchi na ustawi wa Jamii kwa ujumla.

Kwahiyo, jamii inapokuwa na afya bora kunakuwa na manufaa ya kuongeza tija ya uzalishaji mali licha ya kuonyesha zoezi la kunawa ni dogo sana lakini kwa upande wa afya ni kubwa hasa katika kuzuia maambukizi ya magonjwa na kupunguza idadi ya wagonjwa kwenye vituo vyetu vya huduma za Afya

Tafiti zinaonyesha kunawa mikono kwa maji safi tiririka na sabuni kunaweza kupunguza magonjwa yanayoweza kutokea kwenye vituo vyetu vya kutolea huduma ya Afya. 

Tuhakikishe tunakuwa na tabia ya kunawa mikono kwenye kila Kaya na taasisi zetu kwa hatua sita muhimu zifuatazo;

  • Kabla ya kula
  • Kabla ya kuandaa chakula
  • Baada ya kutoka chooni
  • Baada ya kumsafisha mtoto aliyejisaidia
  • Kabla ya kumlisha au kumnyonyesha mtoto
  • Baada ya kumhudumia mgonjwa

Na hii iende sambamba na matumizi sahihi ya vyoo bora.


"Hakuna lisilowezekana"

Abdallah Mahia ni Afisa Afya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.


Makala za nyuma:

  • Kunawa Mikono kwa Sabuni na Maji Safi Iwe ni Tabia (12 Juni, 2022
  • Maandimisho ya Siku ya Mazingira Duniani 2022 (04 Juni, 2022)


Matangazo

  • Karibu nyumbani Dodoma Mhe. Rais Samia August 12, 2022
  • Karibu Mwenge wa Uhuru August 16, 2022
  • Majina ya Makarani, Wasimamizi Maudhui na Wasimamizi TEHAMA waliochaguliwa kufanya kazi ya SENSA 2022 July 28, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili Makarani na Wasimamizi Maudhui - SENSA 2022 July 18, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Wananchi kushiriki vema katika Sensa ya watu na makazi-

    August 18, 2022
  • Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa ampongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

    August 17, 2022
  • Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru aridhishwa na wingi wa wananchi kwenye mkesha wa Mwenge

    August 19, 2022
  • Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa ampongeza Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma

    August 17, 2022
  • Angalia zote

Video

Bwawa la Mtera kuhudumia Dodoma
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    3 CDA Street

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.