• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ujenzi 'Government City Complex' asilimia 65, kukamilika Machi

Imewekwa tarehe: January 19th, 2021

UJENZI wa awamu ya kwanza jengo la kitega uchumi linalojengwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika Mji wa Serikali 'Government City Complex' limefikia asilimia 65 ya ukamilikaji.

Kwa mujibu wa taarifa ya Mkandarasi anayejenga mradi huo kampuni ya Mohammed Builders wakati wa ukaguzi uliofanywa na wajumbe wa Kamati ya Fedha ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma Januari 18, 2021 ni kwamba, ujenzi huo wa awamu ya kwanza unatarajiwa kukamilika mwezi Machi mwaka huu.

Wajumbe wa kamati hiyo ya Fedha wakiongozwa na Naibu Meya wa Jiji la Dodoma Mhe. Emmanuel Chibago walielezea kuridhishwa kwao na maendeleo ya mradi huo huku wakimuagiza mkandarasi huyo kukamilisha ujenzi huo kwa wakati kwa mujibu wa mkataba.

Mradi huo unajengwa na Jiji katika Mji wa Serikali Mtumba kwa kutumia mapato ya ndani kwa gharama ya shilingi bilioni 56 hadi kukamilika kwake, ambapo utakuwa na hoteli, taasisi mbalimbali kama benki, maduka makubwa, Migahawa, makazi (Appertments), kumbi kubwa tatu kwa ajili ya mikutano mbalimbali, ambapo pia Jiji hilo linakamilisha ujenzi wa hoteli ya ghoroga 11 iliyofikia asilimia 98 ya ukamilishaji, ujenzi huo pia unatumia mapato ya ndani ya Halmashauri inayojulikana kama Dodoma City Hotel yenye vyumba 105 ikiwa katikati ya Jiji.

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 - Awamu ya Pili February 19, 2021
  • Tangazo la Mnada wa Hadhara February 15, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Nne, cha Pili na Darasa la Nne 2020 haya hapa January 15, 2021
  • Zoezi la upandaji miti watumishi wote January 15, 2021
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mshambuliaji Anwary Jabir aweka rekodi ligi kuu, 'apewa' uchezaji bora

    February 25, 2021
  • Jiji katika opesheni ya kujiimarisha kimapato

    February 25, 2021
  • Waziri Gwajima asisitiza tahadhari zaidi ya magonjwa

    February 25, 2021
  • JPM alivunja Jiji la D'salaam, aipandisha hadhi Manispaa ya Ilala

    February 24, 2021
  • Angalia zote

Video

Wakazi wa Jiji la Dodoma wafurahia miradi ya TSCP
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    3 CDA Street

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.