• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • CityTV

Jiji, TFS zatoa elimu Dodoma ya kijani mtaani

Imewekwa tarehe: November 16th, 2019

Ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za  Misitu (TFS) kanda ya kati imetembelea makundi mbalimbali ya jamii na kutoa elimu juu ya upandaji wa miti majumbani kwa ngazi ya familia, wafanyabiashara na taasisi mbalimbali .

Kampeni hiyo ya kutoa elimu ya upandaji miti majumbani imefanyika maeneo ya Area C, Soko la majengo, na Msalato ikiwa imebeba kauli mbiu ya “Dodoma ya kijani inawezekana” elimu hiyo ilikuwa imebeba makundi ya sanaa mbalimbali nyimbo, sarakasi na maigizo  yenye lengo la kufikisha ujumbe katika jamii

Afisa Mazingira Ally Mfinanga aliwasisitiza wananchi kupanda miti isiyopungua mitano kwa ngazi ya familia, miwili ya kwa ajili ya kivuli na mitatu ni miti ya matunda. Aliwaelezea wananchi faida kubwa za miti kwa kizazi kilichopo na kijacho. Moja ya faida kubwa ikiwemo  kuleta mvua.

“wananchi kwa pamoja tukishirikiana kupanda miti mitano kwa kila nyumba miti hiyo miwili kwa ajili ya kivuli na miti mitatu iwe ya matunda lakini pia tukiweza kufanikisha zoezi hili kila mmoja wetu akapanda miti ina faida nyingi sana haswa katika maisha yetu wanadamu, kutengeneza kivuri, huleta hewa safi, lakini pia miti huleta mvua, jamani Dodoma hapa mvua zinachelewa sana. Sasa hivi mikoa mingine mvua zinanyesha, Dodoma ya kijani inawezekana “ alisema kwa msisitizo Mfinanga.

Mfinanga alitoa maelekezo ya utaratibu wa namna ya kupata miti hiyo kwa upande wa taasisi, shule, msikitini, kanisani, Hosptali na kwa  mwananchi wa kawaida kama ataitaji miti isiopungua mitano  wafike ofisi za Halmashauli ya Jiji watapewa miti bure bila gharama yoyote. Kwa wale wanaohitaji miti ambayo watapanda majumbani kwao, basi waweze kununua katika vitalu mbalimbali vilivyopo katika Jiji la Dodoma.

Kikundi cha utamaduni kikitumbuiza kwenye kampeni ya upandaji miji Jijini Dodoma.


Matangazo

  • Orodha ya wanafunzi Jiji Dodoma waliochaguliwa kujiunga Kidato cha kwanza 2020 December 06, 2019
  • Mafunzo ya Utengenezaji wa Bidhaa za Ngozi (Viatu, Mipira na Mabegi) August 17, 2018
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Manispaa ya Dodoma March 27, 2018
  • TANGAZO KUHUSU WALIOLIPIA FEDHA KUPITIA AKAUNTI ZA BENKI ZA ILIYOKUWA CDA November 10, 2017
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Rais Magufuli aweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja refu zaidi Afrika Mashariki

    December 07, 2019
  • Mhe. Mavunde atimiza ahadi kwa walimu waliofanya vizuri, awapeleka Ngorongoro

    December 07, 2019
  • Zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura laanza jijini Dodoma

    December 06, 2019
  • Orodha ya wanafunzi Jiji la Dodoma waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha kwanza 2020 yatolewa

    December 06, 2019
  • Angalia zote

Video

Uzinduzi wa tovuti mpya za mikoa na halmashauri nchini
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge
  • Baraza la Mitihani

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    CDA Street

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.